Picha ya Mwezi

 Julai 2013, Indian Ocean, Tanga

Ubatizo=Kuzikwa + Kufufuliwa
(Warumi 6:3-5)
   3 Maana, mnajua kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana na Kristo Yesu, tulibatizwa na kuungana na kifo chake.  4 Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka wafu kwa kitendo kitukufu chaBaba, sisi pia tuweze kuishi maisha mapya.  5 Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye.

Hakuna maoni: